Friday, August 20, 2010

FM ACADEMIA KUZINDUA ALBUM MPYA YA VUTA NIKUVUTE

Rais wa Bendi ya FM Academia, Nyoshi El- Saadat (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (pichani hawapo) kuhusu uzinduzi wa album yao ya sita ijulikanayo vuta nikuvute. Uzinduzi huo, utafanyika siku ya Idd Mosi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Kushoto ni Meneja wa Bendi hiyo, Mujib Khamis na Ofisa Habari wa Idara ya Habari Zahra Majid. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es Salaam

1 comment: