Friday, August 20, 2010

WATUHUMIWA WA UGAIDI WAKITOKA MAHAKAMANI


Watuhumiwa Hussein Hassan Agad (aliyevaa kanzu nyeusi) na Ismail na Ismail Abubakari wakitoka mahakamani Jumanne iliyopita mjini Kampala nchini Uganda. Watuhumiwa hao, wanadaiwa kuhusika katika mlipuko wa mabomu na kusababisha vifo vya watu 76 nchini humo wakati wakiangalia fainali za kombe la Dunia kati ya timu ya Taifa ya Hispania na Uholanzi. Mechi ya Fainali ilifanyika nchini Afrika Kusini mapema mwaka huu.

No comments:

Post a Comment