Tuesday, August 17, 2010

MISS TANZANIA WAANZA KAMBI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Warembo wanaowania taji la Miss Tanzania leo watasaini mikataba kati yao na waandaaji pamoja na kupewa semina maalumu na kamati ya mashindano hayo. Mbali na hayo, washiriki 31 kutoka kanda mbalimbali nchini jana walianza kambi kwenye hoteli ya Giraffe nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

1 comment: