Thursday, August 19, 2010

MAFURIKO PAKSTAN YAUA ZAIDI YA WA 1,000 MPAKA SASA

Mafuriko yaliotokea Kaskazini- Magharibi nchini Pakstan, yanakadiriwa kusababisha watu karibu 1,100 kupoteza maisha na wengine milioni moja wameathirika. Kutokana na hali hiyo, wakoaji na Mashirika ya Kimataifa ambayo yanatoa misaada yamekuwa yakiangaika kuokoa maisha ya watu. Umoja wa Mataifa (UN) umesema kuwa watoto wako hatarini kupata magonjwa ya kuambukiza. Marekani imetangaza kutoa msaada wenye thamani ya dola 10 milioni ili kuwasaidia watu walioathirika.  Picha na AFP

1 comment: