Wednesday, August 18, 2010

RAIS KIKWETE AKIZINDUA MNARA WA MASHUJAA WA MAJIMAJI

Rais Jakaya Kikwete akifungua rasmi mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa waliopigana vita vya Majimaji uliojengwa katika Kijiji cha Nandete, Kata ya Kipatimu wilayani Kilwa. Eneo hilo ni mahali ambako vita hivyo vilipangwa na kuanza.Picha na Freddy Maro.

No comments:

Post a Comment