Saturday, August 28, 2010

Mtuhumiwa wa kesi ya matumizi mabaya ya fedha kwenye ujenzi wa jengo pacha la Benki Kuu Tanzania (BoT), Amatus Liyumba akiwa kwenye chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam,akisubiri kusikiliza rufaa yake mahakamani hapo jana. Picha na Michael Matemanga

No comments:

Post a Comment