Friday, August 6, 2010

MKE WA OBAMA 'AKITANUA' HISPANIA


Mke wa rais wa Marekani, Michelle Obama (mwenye miwani) akiwa nchini Hispania jana kwa ajili ya kutembelea mji wa kihistoria wa Marbella. Katika ziara hiyo, Michelle ameongozana na mtoto wake Sasha, wanaoonekana pembeni yake walinzi na mafariki wa familia ya rais Obama. Jamaii imekuwa ikilalamikia zaidi gharama anazotumia Michelle katika ziara zake za mapumziko.

No comments:

Post a Comment