Tuesday, August 24, 2010

MAFURIKO PAKISTANI YAENDELEA KUWATESA WATOTO

Mkazi wa Pakistani akiwa amembeba mtoto wake ambaye anaarisha kwenye hospitali ya Sukkur kutokana na athari za mafuriko. Rais wa Pakustani Asif Ali Zardari amesema leo kuwa nchi yake itachukua muda mrefu kuijenga nchi hiyo, kutokana na uharibifu uliosababishwa na marufiko. Dola 700 milioni za Marekani zinahitajika kwa ajili ya kuijenga nchi hiyo. Kutokana na mafuriko hayo, zaidi ya watu 1,500 wamepoteza maisha na wengine milioni 20 wameathirika. Picha na AFP/ Asif Hassan.

No comments:

Post a Comment