Wednesday, August 18, 2010

WAFANYAKAZI AFRIKA KUSINI WAANZA MGOMO KUPINGA NYONGEZA YA MSHAHARA

Wafanyakazi nchini Afrika Kusini leo wameanza mgomo rasmi kupinga nyongeza ya asilimia 7 ya mshahara walioongezewa na Serikali nchini humo. Vyama vya wafanyakazi vilivyo chini ya muungano wa Cosatu walipendekeza wafanyakazi waongezewe mshahara kwa asilimia 8.6, lakini serikali imeonekana kutoafiki mapendekezo ya chama hicho.

No comments:

Post a Comment