Friday, August 20, 2010

WANANCHI MAMBO SAFIIIIIIIIIIIII, TUTASHINDAAAAA


Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akiwahutumbia wanachama na wapenzi wa chama hicho kwenye ofisi ndogo za CCM zilizopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam jana baada ya kurejesha fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Picha na Edwin Mjwahuzi na Emmanuel Herman.

No comments:

Post a Comment