Friday, August 13, 2010

LUKUVI KATIKA MOJA YA KAZI ZAKE DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi akitoa pongezi kwa watengenezaji wa meza ya maabara yakuhamishika pamoja na kuizindua Shule ya Sekondari ya Mbagala Kuu jijini Da es Salaam. Meza hiyo, ina thamani ya shilingi 5 milioni na imenunuliwa na Manispaa ya Temeke ili kuwasaidia wanafunzi shuleni hapo kufanya mazoezi ya vitendo.

No comments:

Post a Comment