Friday, August 13, 2010

MNYIKA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE UBUNGO



Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa Chadema, John Mnyika (kushoto) leo amechukua fomu za kugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo. Amesema katika uchaguzi ujao, amejipanga vizuri na atahakikisha anatafuta kura na kuzilinda ili zisiibwe kama Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005. Picha na Emanuel Herman

No comments:

Post a Comment