Saturday, August 28, 2010

KESI YA KINA JERRY MURO YAAHIRISHWA


Washitakiwa wa kesi ya kuomba rushwa wakijadiliana jambo kwenye kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana,baada ya kesi yao kuahirishwa mahakamani hapo jana,kutoka kulia ni Edmund Kapama,Deogratias Mgasa na Jerry Muro.Picha na Michael Matemanga

No comments:

Post a Comment