Thursday, August 12, 2010

AKATWA KWA PANGA KWA KUTOJUA KUPIKA CHAKULA KITAMU

Mkazi wa Kijiji cha Itununu wilayani Serengeti, Juliana Mark (20) akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo baada kukatwa na panga kichwani, mkononi na mguuni kwa kuwa hajui kupika chakula kizuri.

No comments:

Post a Comment