Friday, August 13, 2010


Wacheza ngoma ya asili wakionyesha staili mbalimbali za kucheza kwenye sherehe ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa, William Lukuvi kufungua jengo jipya la uzazi na upasuaji katika Zahanati ya Roundtable iliyopo Mbagala jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment