Wednesday, August 4, 2010

UMATI WA WANAFUNZI WAKIFANYA MTIHANI ILI WAAJIRIWE

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakifanya mtihani jana katika chuo hicho, ulioandaliwa na kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa ajili ya kuwaajiri katika kampuni hiyo. Umati wa wanafunzi hao, unaonyesha jinsi tatizo la ajira lilivyokubwa nchini. Pengine wanaohitajika kuajiriwa ni watu sita tu kati ya watu 200 waliofanya mtihani.

No comments:

Post a Comment