Friday, August 20, 2010

PROFESA LIPUMBA AKIREJESHA FOMU TUME YA UCHAGUZI



Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto) ambaye ni mgombea urais wa CUF na mgombea mwenza, Juma Duni Haji wakisalimia wananchi wakati akiwasili Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam ili kurudisha fomu. Picha na Edwin Mjwahuzi.

No comments:

Post a Comment