Thursday, August 12, 2010

WANACHAMA CCM WACHARUKA KURA ZA MAONI


Wanachama wa CCM jijini Dar es Salaam wakilalamika kwa Katibu Uenezi na Siasa Mkoa wa Dar es Salaam wa chama hicho, Juma Simba kuwa wagombea wao waliotangazwa washindi katika kura za maoni wameenguliwa.

No comments:

Post a Comment