Tuesday, September 7, 2010

WAREMBO WAKIWA WAMEPOZI KATIKA SHINDANO LA KUMTAFUTA BALOZI WA REDDS

Washiriki 30 wakiwa wamepozi katika shindano la kumsaka Balozi wa Redds lililofanyika Kinyamwezi Pub, Mikocheni. Mshindi wa atatangazwa Jumamosi katika shindano la kumtafuta Miss Tanzania.

No comments:

Post a Comment