Wednesday, September 1, 2010

OBAMA AWAZUIA WATOTO WAKE KUTAZAMA TELEVISHENI

Rais wa Marekani Barack na mke wake, Michelle Obama wakiwa wameongozana na watoto wao, Malia Obama (12) na Sasha (9) ambaye baba yake amemshika begani. Wazazi hao, wamesema wanataka watoto wao waishi maisha ya kawaida na pia hawaruhusiwi kutazama televisheni katikati ya wiki na kompyuta wamekuwa wakitumia kwa ajili ya kufanya kazi za shule tu. Obama na Michelle hakuwakueleza ni kwanini wanawazuia watoto hao kuangalia televisheni muda mrefu.

1 comment: