Tuesday, September 7, 2010

TENDWA AIONYA CCM


John Tendwa ambaye ni msajili wa Vyama Vya Siasa nchini amekishauri Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutotumia picha zilizopigwa katika maeneo ya Ikulu kwenye kampeni zake kwa kuwa zinawashawishi wananchi kukipigia kura na kwamba vyama vingine vya siasa haviwezi kuzipata picha hizo kutokana na kutoweza kupiga picha kwenye eneo la Ikulu.

1 comment: