Sunday, September 12, 2010

VODACOM MISS TANZANIA 2010

Mrembo wa Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevieve Emmanuel akiwa kwenye gari aina ya Hyundai baada ya kushinda taji la urembo usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Gari hilo, alikabidhiwa na Mkurungezi Mtendaji wa Vodacom Dietlof Mare. (Picha zote na Venance Nestory)

No comments:

Post a Comment